Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (800 sqm)

video thumbnail
Kibaha, Pwani
18 hours ago
Sh. 48,000,000

Maelezo

Nyumba nzuri ya Kisasa Inauzwa milioni 48 maongezi yapo sana šŸ“ IPO KIBAHA KWA MATHIAS
ā–«Ina Vyumba Vitatu vya Kulala Viwili ni SELF continued
ā—‡Master Bedroom
ā–«Sitting room
ā–«Dining room
ā—‡ Kitchen
ā—‡Store
ā–« Public toilet
āœ“ Nyumba ina Servant cotta ya Chumba sebule mastar na chumba single master
ā–«Ukubwa wa kiwanja: sqmt 800 (20x40)
ā—‡document: Sales agreement
ā—‡maji safi dawasco umeme vyote vipo kwenye nyumba
ā˜Žļø0683 665504