Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha kwa Matiasi, Pwani (1863 sqm)







Kibaha, Kibaha CBD, Pwani
2 hours ago
Sh. 165,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1863 SQM
Huduma na Sifa
Hati
Tiles
Public Toilet
Dining
Jiko
Maelezo
Nyumba nzuri sana inauzwa bei milion 165. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 1863. Ina vyumba 3 vya kulala vyumba vyote 3 master bedrooms. Sebule kubwa. Dining room. Jiko. Public toilet. Full document hati ya wizara ya aridhi. Hii nyumba ipo maeneo ya kibaha kwa Matiasi njia ya jeshini
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 50000
Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam
