Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Mwendapole, Pwani (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
900m β Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA KUBWA YA KISASA INAUZWA KIBAHA MWENDAPOLE TSH MILIONI 60 TU.
==========
π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π»Jiko la kisasa
π» Public toilet
π» Dinning Room
β
Eneo lake lina ukubwa wa Sqm 800
==========
π° BEI MILIONI 60 tu
Maongezi Njoo site
==========
βοΈ Ipo Mita 900 tu kutoka Morogoro Road
π Nyumba ipo kwenye barabara ya mtaa
β
Ina ukuta upande mmoja
βοΈ Maji na Umeme tayari vipo
β
Ina kisima cha maji ya akiba
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















