Tafuta
-
-

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha kwa Matiasi, Pwani (1863 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 165,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

1863 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Tiles
Public Toilet
Dining
Jiko

Maelezo

Nyumba nzuri sana inauzwa bei milion 165. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 1863. Ina vyumba 3 vya kulala vyumba vyote 3 master bedrooms. Sebule kubwa. Dining room. Jiko. Public toilet. Full document hati ya wizara ya aridhi. Hii nyumba ipo maeneo ya kibaha kwa Matiasi njia ya jeshini

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam