Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mfipa, Pwani (600 sqm)

Kibaha, Pwani
2 hours ago
Sh. 18,500,000
Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA JIPYA NA ZURI SANA LA VYUMBA VITATU VYA KULALA LINAUZWA KIBAHA KWA MFIPA MIL 18.5 TU.
==========
π»Lina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π»Jiko
π»Public toilet
π»Stoo
__________________
βοΈ Lipo kwenye barabara ya mtaa
π Lipo mtaa mzuri sana unaokua kwa kasi
==========
β
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 600
_____________________
π° BEI MILIONI 18.5 TU
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















