Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI FANI CITY π‘
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye ubora na bei nafuu? Hii ndiyo nafasi yako!
β¨ Sifa za nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala β vyote ni Master Bedroom
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Eneo la kiwanja: SQM 400
ποΈ Hatua ya ujenzi:
βοΈ Msingi wa kisasa na nyumba imejengwa vizuri
βοΈ Mfumo wa maji na vyoo umewekwa
βοΈ Sinki zimefungwa
βοΈ Paa limeezekwa bati
βοΈ Shimo la choo limekamilika
π Mahali: Kigamboni β Fani City
β’ Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
β’ Kilomita 12 kutoka Feri
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π Dokumenti: Hati ya Serikali ya Mtaa
π° Bei: TSh Milioni 58
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #realestateagent #tanzania nia















