Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, FANI CITY π‘
Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba mpya kabisa, iliyokamilika kwa kiwango cha juu na tayari kwa kuhamia.
β
Vyumba 3, vyote Master Bedroom
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Maji na umeme vimeunganishwa tayari
β
Mfumo wa taa na bodi ya umeme umekamilika
β
Hakuna kazi ya ziada β njoo na samani zako uhamie moja kwa moja!
π Mahali ilipo:
β’ Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
β’ Kilomita 9 kutoka Feri
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 95
Maongezi yapo
π+255-769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio















