Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Fani City, Dar Es Salaam

Sh. 95,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, FANI CITY 🏑

Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba mpya kabisa, iliyokamilika kwa kiwango cha juu na tayari kwa kuhamia.

βœ… Vyumba 3, vyote Master Bedroom
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Maji na umeme vimeunganishwa tayari
βœ… Mfumo wa taa na bodi ya umeme umekamilika
βœ… Hakuna kazi ya ziada – njoo na samani zako uhamie moja kwa moja!

πŸ“ Mahali ilipo:
β€’ Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
β€’ Kilomita 9 kutoka Feri
β€’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei: TZS Milioni 95
Maongezi yapo
πŸ“ž+255-769554221

#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam