Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fundi Basikeli, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 55,000,000

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Sebule
Jiko

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI FUNDI BASIKELI

Fursa nzuri ya kupata nyumba yenye bei nafuu katika eneo linalokua kwa kasi!

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 3
βœ… Vyumba vyote Master
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Nyumba imekamilika kwa ndani na ipo tayari kuhamiwa
βœ… Eneo la SQM 400

πŸ“ Mahali: Kigamboni Fundi Basikeli
πŸ“ Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
πŸ“ Kilomita 12 kutoka Ferry
πŸ“ Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei: TZS Milioni 55
🀝 Mazungumzo kidogo yapo
πŸ“Service Charge 30,000
πŸ“ž0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam