Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 180,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KINYEREZI SHULE, DAR ES SALAAM 🏑

πŸ’° Bei: Milioni 180 Tu (Mazungumzo Kidogo kwa Mteja Serious)

Nyumba nzuri na ya kisasa inapatikana Kinyerezi Shule katika eneo zuri na linalokua kwa kasi.

βœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Boy’s Quarter yenye chumba na sebule
βœ… Ndani ya Fence
βœ… Parking ya kutosha
βœ… Maji na Umeme vipo
βœ… Barabara nzuri, gari linafika hadi nyumbani
βœ… Hakuna changamoto yoyote ya mazingira

Nyumba hii inafaa kwa:
🏠 Makazi ya familia
🏒 Biashara au uwekezaji wa kupangisha

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba katika eneo lenye thamani inayoongezeka kila siku.

πŸ“ž Muhitaji piga: +255688412890
πŸ’΅ Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=

✨ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (2000 sqm)

Sh. 450,000,000

For Sale4 beds2 baths2,000 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 100,000,000

For Sale4 beds4 baths600 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (2000 sqm)

Sh. 450,000,000

For Sale4 beds3 baths2,000 sqmhouse