Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kifuru King'azi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
3km
Maelezo
🏡✨ NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KINYEREZI KIFURU KING’AZI, DAR ES SALAAM 🇹🇿
💰 Bei: TSh Milioni 60 (Mazungumzo yapo kwa mteja makini)
📍 Location: Kinyerezi Kifuru King’azi
🛣️ Umbali wa KM 3 tu kutoka barabara ya lami.
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400
📄 Umiliki: Mauziano ya Serikali ya Mtaa
✨ Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
👑 Chumba 1 Master
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining Room
🍳 Jiko
🚿 Choo cha Familia
⚡ Umeme upo
💧 Maji yapo
🧱 Imezungushiwa Fence
✅ Fursa nzuri kwa makazi ya familia au uwekezaji katika eneo linalokua kwa kasi.
💼 Service Charge: TSh 50,000/=
NIPIGIE CM CHAP 0744112394
🌟 ....
Miliki Kesho Yako Leo!!! 🔑















