Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Mwangolandege, Dar Es Salaam
Maelezo
๐กโจ NYUMBA MPYA INAUZWA โ KINYEREZI MONGOLANDEGE โจ๐ก
Nyumba mpya kabisa yenye finishing ya kisasa na ubora wa hali ya juu, ipo eneo tulivu, salama na linalofikika kirahisi ๐ฅ
โ๏ธ Karibu na uwanja wa ndege, hivyo ni location nzuri sana kwa makazi na uwekezaji.
โ
Vyumba 3 vya kulala (1 Master)
โ
Sebule kubwa ya kisasa
โ
Jiko la kisasa lenye makabati
โ
A/C na mafeni sebule na vyumbani
โ
Water heater
โ
Maji ya kisima + motor
โ
Taa za ndani na nje za kisasa
โ
Ipo ndani ya fensi
๐ Location: Kinyerezi Mwangolandege
๐ฐ Bei: TSh 250 Milioni (maongezi yapo)
๐ต Service charge: TSh 50,000/=
๐ค Karibu mnunuzi wa kweli tufanye biashara
๐
๐กโจ Dalali wako Wakishua















