Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
2m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA KINYEREZI SONGAS โ LOCATION NZURI SANA! ๐ฅ
Fursa adimu ya kumiliki nyumba iliyopo Kinyerezi Songas, ikiwa ni nyumba ya pili kutoka barabara ya lami. Eneo linafikika kwa urahisi na lina mazingira mazuri ya kuishi pamoja na uwekezaji.
โ
Ina:
* Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
* Sebule kubwa
* Jiko
* Choo cha Public
* Umeme na maji vinapatikana
* Parking ya kutosha
๐ Ukubwa wa eneo: Sqm 500
๐ Inafaa kwa:
* Makazi ya familia
* Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
* Apartments
* Lodge au biashara nyingine kutokana na location yake nzuri karibu na barabara kuu
๐ฐ Bei: Milioni 60 Tu
๐ฅ Wahi Sasa, Offer Kabambe!
Miliki Kesho Yako Leo!!!
๐ Muhitaji piga: +255 688 412 890
Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=
๐ Karibu Tajiri โ Dalali Wako Wakishua! โจ















