Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 11,000,000

Maelezo

🏡 BANDA LA KUMALIZIA LINAUZWA – KINYEREZI ZABIKAH

📍 Lipo takriban dakika 5 kutoka kituoni, katika eneo tambarare lenye miundombinu mizuri na neighborhood inayokua kwa kasi.

✨ Muundo wa nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Sebule
✅ Jiko

💰 Bei: TSh Milioni 11 tu!
Muuzaji yupo tayari kuuza.

Hii ni fursa nzuri kwa:
✔️ Unayetaka kumalizia na kuhamia mara moja ili kupunguza gharama za kupanga.
✔️ Mwekezaji anayetaka kumalizia na kupangisha kwa mapato ya uhakika.

📄 Nyaraka: Sales Agreement

📞 Piga simu: +255688412890
💵 Viewing Fee / Service Charge: TSh 30,000/=

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam (566 sqm)

Sh. 120,000,000

For Sale4 beds1 bath566 sqmhouse