Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 BANDA LA KUMALIZIA LINAUZWA – KINYEREZI ZABIKAH
📍 Lipo takriban dakika 5 kutoka kituoni, katika eneo tambarare lenye miundombinu mizuri na neighborhood inayokua kwa kasi.
✨ Muundo wa nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Sebule
✅ Jiko
💰 Bei: TSh Milioni 11 tu!
Muuzaji yupo tayari kuuza.
Hii ni fursa nzuri kwa:
✔️ Unayetaka kumalizia na kuhamia mara moja ili kupunguza gharama za kupanga.
✔️ Mwekezaji anayetaka kumalizia na kupangisha kwa mapato ya uhakika.
📄 Nyaraka: Sales Agreement
📞 Piga simu: +255688412890
💵 Viewing Fee / Service Charge: TSh 30,000/=
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















