Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (850 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
850 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ GHOROFA LA KISASA LINAUZWA β KIGAMBONI, KISOTA (MTAA WA SALANGA)
Fursa adhimu kwa wanaotafuta makazi ya kisasa au uwekezaji wenye thamani!
β
Vyumba 3, vyote Master
β
Sebule kubwa na jiko la kisasa
β
Ukubwa wa kiwanja: SQM 850
β
Eneo limepimwa na lina nyaraka za Approved Plan
π Mahali:
* Mtaa wa Salanga, Kigamboni Kisota
* Mita 300 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 5 kutoka Feri
* Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 270
π€ Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi makini.
Service Charge 30,000
π0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















