Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Kivule, Ilala, Dar Es Salaam
2 months ago
Sh. 50,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Maelezo
NYUMBA MPYAA,VYUMBQ 3,TSHS45 MILIONI,KIVULE FREMKUMI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 380.
Imiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ni nzuri YAKUHAMIA.
Vyumba 3(Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani
Ikomboe Familia yako I've iishi hapa au tena,
Nunua Pangisha.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________mskv
