Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

NYUMBA YENYE NAFASI,VYUMBA 3,TSHS.75 MILIONI, KIVULE NJIAPANDA YA SHULE.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM 1,370.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Jirani sana na Kituo cha Daladala.

Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000..(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________msk