Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TZS.70 MILIONI, MBAGALA-CHAMAZI.
Ni nyumba mpya.
Vyumba 3 (Masta 1) Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Maji yapo na Parking yakutosha.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________rK















