Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Mapemba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 75,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

1

Huduma na Sifa

Umeme
Luku Inajitegemea

Maelezo

🏠 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI (MAPEMBA)

Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa kwa bei ya milioni 75 tu (maongezi yapo).

πŸ“ Location: Mbagala Chamazi, Mapemba
🏑 Sifa za nyumba:

Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)

Sitting room kubwa

Dining room

Jiko la kisasa

Public toilet

Umeme wa LUKU upo

πŸ”₯ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu – ni chaguo sahihi kwa familia.

πŸ‘‰ Njoo site ukague mwenyewe, ukiwa serious huwezi kuiacha!
πŸ’₯ Mwenye nyumba yupo tayari kuuza – fursa ya kipekee kwa mnunuzi.

πŸ“ž Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504