Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 79,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Barabara ya Karibu

1minute

Huduma na Sifa

Umeme
Dining
Jiko
Modern Kitchen

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI MIKUMI 🏡

Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 79 tu!

📍 Location: Mbagala Chamazi Mikumi
🚶‍♂️ Umbali: Dakika 1 tu kutoka barabara kuu ya lami

Sifa za nyumba: ✔️ Vyumba 3 vya kulala
✔️ Sitting room
✔️ Dining room
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Umeme upo
✔️ Maji ya uhakika (yanapatikana muda wote)

🏠 Nyumba ni ya kisasa na ipo kwenye mazingira mazuri sana – ni chaguo sahihi kwa makazi ya familia.

📞 Kwa maelekezo zaidi na kuangalia nyumba:
Piga simu: 0683 665 504