Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
160 SQM
Maelezo
🏡 NYUMBA NZURI INAUZWA – MJIMWEMA, MKINDONI (KIGAMBONI), DAR ES SALAAM
✨ Nyumba ya kisasa, mazingira mazuri sana na karibu na barabara kuu – inafaa kwa makazi ya familia 👌
SIFA KUU:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Sebule kubwa ya kisasa
✅ Dining area
✅ Jiko zuri lenye nafasi
✅ Eneo: Sqm 160
✅ Ipo jirani sana na barabara
VIFAA NA MIUNDOMBINU:
✅ Uzio (fence) umezunguka nyumba yote
✅ Garden nzuri 🌿
✅ Paving ya kisasa
✅ Kisima cha maji + maji safi yanapatikana
✅ Umeme upo tayari
✅ Nyumba imekamilika kabisa (ready to move)
📄 HATI: Mauziano ya Serikali za Mtaa
💰 BEI: TSH 160,000,000
💵 Service charge: 30,000 TZS
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
#dalali #dalalikigamboni #dalaliviwanja #kigamboni #mjimwema mkindoni nyumbazinauzwa realestatetz plotsforsale chatgpthousesforrent googlebesthouseforrent
