Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pugu Kinyamwezi, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
700 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3 INAUZWA NA BANK,TSHS.30 MIL,PUGU-KINYAMWEZI. Kiwanja SQM. 700. Ni nyumba ambayo inajitegemea. Vyumba 3( Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Vilevile kuna Msingi wa Ghorofa ya vyumba 4, Nyumba ndogo ya Vyumba 2 na Fremu za Biashara 2. ________________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 ________________mpg













