Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pugu Kinyamwezi, Dar Es Salaam (700 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3 INAUZWA NA BANK,TSHS.30 MIL,PUGU-KINYAMWEZI.
Kiwanja SQM. 700.
Ni nyumba ambayo inajitegemea.
Vyumba 3( Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Msingi wa Ghorofa ya vyumba 4,
Nyumba ndogo ya Vyumba 2 na Fremu za Biashara 2.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg















