Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bangulo Pugu, Dar Es Salaam (300 sqm)


Maelezo
Nyumba ya kumalizia inauzwa bei milion 25 tu, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 300, hii nyumba ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko na public toilet, Location bangulo pugu dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge 50000















