Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 40,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Kitchen Cabinets
Public Toilet
Fans

Maelezo

🏡✨ NYUMBA INAUZWA – TABATA KIMANGA ✨🏡

Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji ipo Tabata Kimanga 📍
Ipo takribani kilomita 1 kutoka kituoni, au kwa bodaboda tsh 1000 pia unafika kwa urahisi.

🏠 Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Kimoja ni Master Bedroom
✅ Sebule kubwa sana yenye space ya kutosha
✅ Jiko kubwa lenye nafasi ya kutosha
✅ Makabati ya kisasa
✅ Choo cha public kwa wageni
✅ Umeme na maji vipo
✅ Design ya kisasa na finishing nzuri

💡 Vyumba ni vikubwa na nyumba ina mpangilio mzuri sana, inafaa kwa:
✔️ Kuishi mwenyewe
✔️ Kupangisha
✔️ Kununua na kuuza tena kwa faida

⚠️ Changamoto zilizopo:
• Haina fence
• Gari halifiki mpaka mlangoni

Lakini kwa bei hii bado ni fursa nzuri sana ya uwekezaji au makazi (LOCATION YA UHAKIKA)🔥

💰 Bei: Milioni 40 tu
💵 Service charge: Tsh 30,000/=

✨ Karibu ndugu mteja, usiache fursa hii. Karibu tajiri!
📞 Muhitaji karibu tufanye biashara.