Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ NYUMBA INAUZWA – TABATA KIMANGA ✨🏡
Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji ipo Tabata Kimanga 📍
Ipo takribani kilomita 1 kutoka kituoni, au kwa bodaboda tsh 1000 pia unafika kwa urahisi.
🏠 Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Kimoja ni Master Bedroom
✅ Sebule kubwa sana yenye space ya kutosha
✅ Jiko kubwa lenye nafasi ya kutosha
✅ Makabati ya kisasa
✅ Choo cha public kwa wageni
✅ Umeme na maji vipo
✅ Design ya kisasa na finishing nzuri
💡 Vyumba ni vikubwa na nyumba ina mpangilio mzuri sana, inafaa kwa:
✔️ Kuishi mwenyewe
✔️ Kupangisha
✔️ Kununua na kuuza tena kwa faida
⚠️ Changamoto zilizopo:
• Haina fence
• Gari halifiki mpaka mlangoni
Lakini kwa bei hii bado ni fursa nzuri sana ya uwekezaji au makazi (LOCATION YA UHAKIKA)🔥
💰 Bei: Milioni 40 tu
💵 Service charge: Tsh 30,000/=
✨ Karibu ndugu mteja, usiache fursa hii. Karibu tajiri!
📞 Muhitaji karibu tufanye biashara.
