Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Mageni, Dar Es Salaam (750 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
750 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก ENEO LENYE NYUMBA LINAUZWA โ TABATA MAGENGENI ๐ก
๐ Dakika 1 tu kutoka barabara ya lami
๐ Ukubwa: SQM 750
๐ Hati miliki (Wizara ya Ardhi)
Eneo hili ni tambarare na lipo ndani ya fence, likiwa kwenye mazingira mazuri na salama kwa makazi au uwekezaji.
Nyumba iliyopo ndani:
* Vyumba 3 vya kulala (Master 1)
* Sebule
* Dining
* Jikoni
* Choo cha public
* Boyโs quarter
โ๏ธ Maji na umeme tayari vipo
โ๏ธ Location nzuri sana kwa uwekezaji
๐ก Fursa ya uwekezaji:
* Unaweza kubomoa na kujenga apartments
* Kujenga ghorofa na kuongeza mapato
* Kufanya Lodge / BNB
* Au kuweka yard ya biashara
๐ Eneo lina uwezo mkubwa wa kukuletea kipato kizuri kulingana na matumizi utakayochagua.
๐ฐ Bei: TZS Milioni 220 (maongezi yapo)
๐ Wasiliana: +255 688 412 890
Karibu tufanye biashara ๐ค















