Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
5minute
Huduma na Sifa
Maelezo
๐กโจ NYUMBA INAUZWA โ TABATA SEGEREA โจ๐ก
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji katika eneo la Tabata Segerea, karibu kabisa na mji ๐
Ipo takribani dakika 5 tu kutoka barabara ya lami, na unafikika bila changamoto yoyote ๐
๐ Muundo wa nyumba:
โ
Vyumba 3
โ
Chumba 1 Master
โ
Sebule
โ
Jiko
โ
Choo cha public
๐ Ukubwa wa eneo: Square mita 300
๐ผ Inafaa kwa:
โ๏ธ Makazi binafsi kwa familia
โ๏ธ Kununua, kukarabati na kuishi mwenyewe
โ๏ธ Uwekezaji wa kupangisha
๐ฐ Kwa uwekezaji, unaweza kukarabati na kupanga kwa kodi kuanzia Tsh 700,000 hadi 1,000,000+ kwa mwezi, kutegemea finishing.
๐ข Pia eneo hili lina nafasi nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kujenga apartments 4โ6, kulingana na ramani, na kila unit inaweza kupangishwa kwa bei nzuri kutokana na location yake kuwa karibu na mji.
๐งโก Maji na umeme vipo
๐ต Bei: Tsh 48,000,000/=
๐ฅ Location inalipa sana na watu wanapapenda kwa sababu ipo karibu na mji.
๐ Mawasiliano: +255688412890
๐ผ Service charge: 30,000/=
Karibu tajiri, tufanye biashara.















