Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
5minute
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ NYUMBA INAUZWA – TABATA SEGEREA ✨🏡
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji katika eneo la Tabata Segerea, karibu kabisa na mji 📍
Ipo takribani dakika 5 tu kutoka barabara ya lami, na unafikika bila changamoto yoyote 🚗
🏠 Muundo wa nyumba:
✅ Vyumba 3
✅ Chumba 1 Master
✅ Sebule
✅ Jiko
✅ Choo cha public
📐 Ukubwa wa eneo: Square mita 300
💼 Inafaa kwa:
✔️ Makazi binafsi kwa familia
✔️ Kununua, kukarabati na kuishi mwenyewe
✔️ Uwekezaji wa kupangisha
💰 Kwa uwekezaji, unaweza kukarabati na kupanga kwa kodi kuanzia Tsh 700,000 hadi 1,000,000+ kwa mwezi, kutegemea finishing.
🏢 Pia eneo hili lina nafasi nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kujenga apartments 4–6, kulingana na ramani, na kila unit inaweza kupangishwa kwa bei nzuri kutokana na location yake kuwa karibu na mji.
💧⚡ Maji na umeme vipo
💵 Bei: Tsh 48,000,000/=
🔥 Location inalipa sana na watu wanapapenda kwa sababu ipo karibu na mji.
📞 Mawasiliano: +255688412890
💼 Service charge: 30,000/=
Karibu tajiri, tufanye biashara.
