Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ubungo Makoka, Dar Es Salaam (450 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 85,000,000

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Sebule
Dining
Jiko
Stoo
Mpya

Maelezo

Hii nyumba kubwa sanaa ya familiar alijenga aishi mwenye nyumba mwenyewe inauzwa milioni 85 maongezi nyumba ni mpya kabisa

Nyumba nzuri kubwa ina vyiumba 3 kimoja master kubwa siting room kubwa na dinning jiko store kubwa

Nyumba nzuri sanaa fika saiti ujionee ndani ilivo decorection za maana zimefanyika ndani hapo mchawi kiyoo tu na rangi ya nnje izidi kuvutia zaidi

Location ubungo makoka kwa mkua km2 kutoka ubungo external au kimara korogwe mwendo kasi barabara ni lami hadi nyumbani

Nyumba INADOCOUMENT HALALI ZA MAUZIANO KUTOKA SERIKALI ZA MTAA

Ukubwa wa eneo square mita 450

Wai ndugu mteja nyumba imekaa sehemu nzr sanaa

SEVCHAGE 30000 kwenda Kuona saity za kununua

Mawasiliano 0656623510

WSP 0752436347

Matangazo mengine Ubungo, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba 7 inauzwa Ubungo Kibo, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 330,000,000

For Sale7 beds5 baths400 sqmhouse
Nyumba ya vyumba 7 inauzwa Ubungo Kibo, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 330,000,000

For Sale7 beds5 baths400 sqmhouse
Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Ubungo, Dar Es Salaam

Sh. 55,000,000

For Sale2 beds1 bathhouse