Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ukonga Mombasa, Dar Es Salaam


Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – UKONGA MOMBASA, ILALA, DAR ES SALAAM 🏡
Je, unatafuta nyumba yenye nafasi kubwa, eneo la biashara, au fursa ya uwekezaji? Hii ndiyo nafasi yako!
📍 Ipo Ukonga Mombasa, Ilala, kwenye barabara kubwa ya lami iliyo mbele kabisa ya nyumba. Eneo hili linafaa kwa makazi, biashara au hata kuendeleza mradi mpya kutokana na ukubwa wake wa Square Meter 460.
✨ Kinachopatikana:
✅ Nyumba kuu yenye vyumba 3 vya kulala, sebule kubwa, korido pana na kibaraza kikubwa.
✅ Nyumba za nyuma zenye vyumba na sebule 5.
✅ Single Rooms 3.
✅ Fremu 3 za biashara mbele ya nyumba.
✅ Hati Miliki Kubwa ya Wizara.
✅ Maji na umeme wa uhakika.
✅ Hakuna mgogoro wowote.
💡 Faida ya ziada: Kama una mpango wa kuwekeza kwa kiwango kikubwa, unaweza kubomoa majengo yaliyopo na kujenga mradi wako wa kisasa kulingana na mahitaji yako. Eneo hili lina thamani kubwa kutokana na kugusa barabara kuu ya lami.
💰 BEI: TSH Milioni 350 Tu! (Mazungumzo yapo.)
📞 Wasiliana nasi: 0787 705 274
KombeRealEstate
Invest Smart, Live Better.
#KombeRealEstate #NyumbaInauzwa #UkongaMombasa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania PropertyForSale HouseForSale InvestSmart InvestInTanzania Ilala CommercialProperty DreamHome













