Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Goba Center, Dar Es Salaam

Goba, Ubungo, Dar Es Salaam
2 days ago
Sh. 700,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
2
Huduma na Sifa
Maji
Parking Space
(Fence) Ukuta
Umeme
Luku Inajitegemea
Paving Blocks
Maelezo
ALONE-GOBA CENTER
DAR ES SALAAM
INAPANGISHWA STAND
Kodi: Tsh Laki 700,000/= kwa mwezi
Malipo ya miezi 6
** Sifa za nyumba:
• Vyumba 2 vikubwa vya kulala ni Master
• Sebule kubwa na Jiko lenye makabati
• Bafu la ndani na la public
• Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
• Umeme wa Luku binafsi
• Maji ya bomba saa 24
• Parking space ipo
• Nje imepangwa kwa Paving blocks
• Nyumba imezungushiwa uzio (Fenced)
Nione dalalimbezibeach _rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu 🙏🙏
