Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Luis, Luguruni, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
*NYUMBA ZA KUPANGISHA: NYUMBA 3 ZA KISASA ZENYE VYUMBA 2 VYA KULALA*
*Mahali:* Mbezi Luis, Luguruni – Karibu na Hospitali ya St. Benedict, Dar es Salaam
*Unatafuta nyumba salama Mbezi Luis, Dar es Salaam?*
Tunazo *nyumba 3 nzuri za vyumba 2* katika eneo tulivu, lenye uzio salama, eneo kubwa la maegesho na mazingira safi.
✨ *VITU VILIVYOPO NDANI YA NYUMBA:*
- *Vyumba 2 vya kulala* – 1 ni Master + 1 cha kawaida
- *Makabati ya Nguo yapo vyumba vyote* – Chumba cha Master & Chumba cha Pili
- *Sebule yenye Kiyoyozi (AC)*
- *Feni zipo vyumba vyote* – Sebule, Chumba cha Master & Chumba cha Pili
- *Jiko la Kisasa* lenye makabati
- *Choo cha Wageni kipo ndani ya nyumba*
- *Uzio Salama* na eneo kubwa la kuegesha magari
- *Kiwanja Kikubwa* – Mazingira safi, tulivu na mazuri
- *Maji na Umeme vya Uhakika*
📍 *Mahali:* Mbezi Louis, Luguruni, Karibu na Hospitali ya St. Benedict, Dar es Salaam
💰 *Kodi:* *TZS 800,000 kwa mwezi* kwa kila nyumba
📞 *Piga/WhatsApp:* **
_Karibu uje uone. Nyumba ni chache!_















