Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Tabata, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
800 SQM
Maelezo
๐ข KIWANJA KINAUZWA โ TABATA BIMA ๐ข
Kiwanja kizuri sana kinauzwa Tabata Bima, kipo takribani dakika 1 tu kutoka kituoni ๐ถโโ๏ธ.
Kipo ndani ya fence, ni tambalare kabisa ๐ฉ, hakijai maji ๐งโ, na kinafikika bila shida ๐.
Ni eneo zuri sana kwa uwekezaji wa apartments ๐ฌ. Unaweza kujenga:
๐น Apartments za ghorofa zenye vyumba viwili
๐น Au chumba kimoja, sebule na jiko
Kodi inaweza kuanzia 600,000/= ๐ฐ na kuendelea kulingana na finishing utakayoweka, na kupata wapangaji bila changamoto ๐.
Pia mbele unaweza kujenga fremu za biashara ๐ช na kuongeza chanzo kingine cha mapato.
๐ Ukubwa: SQM 800
๐ข Unaweza kujenga hadi ghorofa 3โ5 na kupata zaidi ya nyumba 12 za kupangisha.
๐ต Bei: Milioni 135 tu.
๐ Service charge: 30,000/=
๐ฅ Hii ni fursa ya kweli ya uwekezaji!
๐ค Karibu tufanye biashara tajiri.
๐ Wasiliana nami: +255 688 412 890
โจ Dalali wako Wakishua




















