Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam
Segerea, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 350,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
π FURSA YA NYUMBA YA KUPANGA TABATA SEGEREA
Unatafuta nyumba nzuri ya familia? Hii hapa inapatikana maeneo ya Tabata Segerea β Chimbo.
β¨ Vyumba 2 vya kulala (hakuna master)
β¨ Sebule kubwa
β¨ Dining room
β¨ Jiko
β¨ Public toilet
π° Bei ni Tsh 350,000 tu kwa mwezi
π Eneo zuri na rahisi kufikika.
π Kwa maelezo zaidi piga simu:















