Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani (200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KUMALIZIA NA KUHAMIA YENYE VYUMBA VIWILI VYA KULALA NA FREMU MBILI INAUZWA MILIONI 9.5 TU KIBAHA KONGOWE.
==========
π»Vyumba viwili vya kulala
π»Sebule
π»Choo
π»Jiko
__________________
βοΈ Nyumba ina fremu mbili kwa mbele
π Ipo kwenye barabara ya mtaa
βοΈ ipo mtaani kabisa, Mtaa ulochangamka sana.
π Imeshapauliwa na ina umeme
π Kiwanja chake kina 10*20
_____________________
π° BEI MILIONI 9.5 tu.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















