Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani (200 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
200 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KUMALIZIA NA KUHAMIA YENYE VYUMBA VIWILI VYA KULALA NA FREMU MBILI INAUZWA MILIONI 9.5 TU KIBAHA KONGOWE.
==========
๐ปVyumba viwili vya kulala
๐ปSebule
๐ปChoo
๐ปJiko
__________________
โ๏ธ Nyumba ina fremu mbili kwa mbele
๐ Ipo kwenye barabara ya mtaa
โ๏ธ ipo mtaani kabisa, Mtaa ulochangamka sana.
๐ Imeshapauliwa na ina umeme
๐ Kiwanja chake kina 10*20
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 9.5 tu.
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994
