Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (560 sqm)

Kibaha, Kibaha CBD, Pwani
3 hours ago
Sh. 45,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
560 SQM
Barabara ya Karibu
2km — Morogoro Road
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara
Maelezo
⏭️ NYUMBA ZINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS KARIBU NA SHULE YA FILBETH BAY
⏭️ Kuna nyumba 2 Kila nyumba ina vyumba 2 vya kulala kimojawapo master bedroom sebule jiko na public toilet
⏭️ Bei: Mil.45
⏭️ Ukubwa wa eneo sqm 560
⏭️ Huduma muhimu zipo hapa, barabara safi
⏭️ Umbali KM 2 toka Morogoro road
PIGA SIMU
O719969102
