Tafuta

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 135,000,000

Maelezo

πŸ”₯ ENE0 KUBWA LINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA, DAR ES SALAAM πŸ”₯

Fursa adhimu sana kwa wawekezaji au wanaotafuta kujenga dream house yao kwenye mazingira ya kishua na yaliyotulia Kigamboni Kibada. ✨

πŸ“ Location: Kigamboni Kibada, Dar es Salaam
βœ… Kilomita 7 tu mpaka Ferry
βœ… Kilomita 6 mpaka Darajani
βœ… Meta 500 tu mpaka barabara ya lami

🏑 Eneo tayari limeendelezwa kabisa:
βœ… Lina nyumba ya vyumba 2 vya kulala
βœ… Sebule na jiko
βœ… Limezungushiwa fence
βœ… Lina fremu 5 za biashara
βœ… Tayari lina maendeleo yote muhimu

πŸ“ Ukubwa wa eneo:
βœ… Square Meter 1,260
βœ… Kiwanja kimepimwa
βœ… Kina hati/nyaraka za wizara

πŸ’§ Huduma zote zinapatikana:
βœ… Umeme
βœ… Maji ya DAWASA
βœ… Kisima cha maji
βœ… Mtaa mzuri wa kishua na uliopangika

πŸ’₯ Bonus kubwa:
Unanunua eneo kwa bei ya kiwanja tu lakini unapata bure nyumba, fence pamoja na fremu za biashara zilizopo ndani yake!

πŸ’° Bei: TZS Milioni 135 tu

πŸš— Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit

πŸ“ž Call/WhatsApp: O719969102