Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

๐—œ๐—ก๐—”๐—™๐—”๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ช๐—” (๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐—ธ ๐—ง๐˜€๐—ต๐˜€): Ni apartment ya chumba kimoja cha kulala 'MASTER BEDROOM', Sebule, Jiko na choo cha public ndani. Ipo ndani ya fensi umeme na maji inajitegemea.

๐— ๐—”๐—›๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ข: Mbezi Mwisho Njia ya Goba- umbali ni km 1 tu kutoka Goba Road

๐—•๐—˜๐—œ ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—˜: Laki mbili tu (200,000/- Tshs) ร— Miezi 6 + Mwezi mmoja malipo ya Dalali

๐—ฆ๐˜‚๐—ฟ๐˜ƒ๐—ฒ๐˜† ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ด๐—ฒ kupelekwa kuona nyumba ni Tshs 15,000/- italipwa mara moja na itatumika hiyo hiyo ikiwa mteja utataka kuona nyumba zingine

Dalali silaa
0742260844
0657384670