Tafuta

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 400,000/month

Maelezo

Apartment Mpya Kali Inapangishwa
Mahali: Tabata Bonyokwa

Bei: 400,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6

Unaweza Pitia Kimara Korogwe Kwa Mkuwa (Zege) Au Kimara Mwisho. Gari Yoyote Inafika

☑️Master Sebule, Jiko
☑️Unajitegemea Kila Kitu Mpaka Tank
☑️Fensi Ya Umeme & Paved Parking, Remote Gate
☑️Full Ac
☑️Reserve Tank & Maji 24/7

Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)

Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa @dalalimastertz

Calls & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988

Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)

Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle

Parking Ya Kutosha

Apartment Ni Kali Sana

Design Ya Kisasa

Veranda Kubwa

Madirisha Makubwa

Mlango Imara Na Wa Gharama

Sebule Kubwa Sana

Sebuleni Kuna Madirisha Matatu

Gypsum Na Taa Za Kisasa

Full Air Conditioner

Jiko Kubwa Ina Sehemu Ya Friji

Makabati Chini Na Juu

Maji Ni Masaa 24

Chumba Kikubwa

Chenye Choo Ndani Yaani Master

Choo Kizuri Kisafi Sana

Kila Apart Inajitegemea Tank

View Nzuri Kwa Majirani

Zege Kuingia Kwenye Nyumba

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam