Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam









Maelezo
Chumba master, sebule na jiko bei 200000 kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking ipo, paving block, ndani ya fence kuna apartment 4 tu, kutoka kituoni bidaboda sh 1000, Location ya tabata kinyerezi kibaga dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge 20000
Au malipo ya dalali















