Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam









Tabata, Dar Es Salaam
9 hours ago
Sh. 180,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master na jiko mpya inapangishwa bei 180000 kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea meter zako mwenyewe, hapa ndani ya fence kuna apartment 2 tu, kutoka kituini dakika 6 hivi, Hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 15000
Au malipo ya dalali















