Tafuta

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Zimbili, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 200,000/month

Maelezo

Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 200000 kodi kuanzia miezi 12 yani mwaka mmoja, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, peving block, reserve water tank, sifa ya hii apartment nzuri sana sio ya kukosa, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi zimbili dar es es salaam

Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam