Tafuta

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea Kwa Bibi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
Sh. 400,000/month

Maelezo

Chumba master, sebule na jiko lenye makabati inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, peving block, aircondition & fan, reserve water tank, pia fence ipo, kutoka kituoni dakika 5 hivi. Hii apartment ipo maeneo ya tabata segerea kwa bibi dar es salaam

Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali

Matangazo mengine Segerea, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 400,000/month

For Rent2 beds1 bathapartment