Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ulongoni, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master nzuri inapangishwa bei 100000 kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea , parking kubwa, fence hipo, hii apartment inatazama barabara ya lami, Location ya ulongoni dar es salaam
Soma caption
Shariti la hapa anatakiwa mpangaji mwanaume tu na asiwe na family
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey chatge tsh 15000
Au malipo ya dalali
https://www.instagram.com/p/DY4FpJqjEU_/?igsh=b3F4Y2NyOXVjMTFn







