Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 500000 kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, dining room, jiko, public toilet, umeme na maji unajitegemea, nyumna hii inatizama barabara ya lami, Location tabata kinyerezi dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 20000
Au maalipo ya dalali















