Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Tabata, Dar Es Salaam

Maelezo
BADO IPO HIII....TUMEVUNJA BEI🗣🗣🗣🗣<br/><br/>*NYUMBA GHOROFA INA APARTMENTS 2 INAUZWA BINAFSI*<br/><br/>IPO TABATA SEGEREA MANISPAA YA ILALA DAR<br/><br/>Kila moja ina:-<br/><br/>Vyumba Vitatu kimoja self, Sitting, Kitchen&Public Toilet <br/><br/>Umiliki : mkataba wa Mauziano serikali ya mtaa,, eneo limepimwa Hati itatoka kwa Jina la mteja...<br/><br/>Ukubwa Wa Eneo: ~ SQM 800<br/><br/>Plan ilikuwa ziwe mbili ambazo zina jumla ya apartments 4, unaweza kuendeleza plan hiyo kama inavyoonekana kwenye picha au kubadili....<br/><br/>Ni mita chache tu kutoka barabara kuu ya tabata-kinyerezi<br/><br/>Bei : Kutoka 350 Million, sasa ni mil 280 <br/><br/>Gharama Za Kwenda Site (servicecharge) Ni Tshs 50,000/=<br/><br/>Karibu <br/><br/>Tupigie Whatsapp au call 0784 919 453,,, call only +255 658 582977 <br/>Kujiunga na group letu la Whatsapp bonyeza hapa 👇 https://chat.whatsapp.com/EQD6RegTadlJoDnUVifRci<br/>.<br/>.<br/>.<br/><br/>.<br/>.<br/>.<br/>.<br/>#business #home #regrann #apartment #apartments















