Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo Maziwa, Dar Es Salaam

Maelezo
Apartment Mpya Kali Inapangishwa
Mahali: Ubungo Maziwa
Bei: 800,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
Wapangaji Wanne. Kuingia Baada Ya Mwezi 1. Malipo Yanapokelewa
☑️Vyumba 2 Kimoja Ni Master Sebule Jiko Na Choo
☑️Kila Kitu Unajitegemea
☑️Fensi Ya Umeme & Paved Parking
☑️Maji Dawasa & Reserve Tank
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa @dalalimastertz
Calls & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle















