Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inauzwa Kisota, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
🏢 APARTMENT MBILI ZINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA 🏢
Fursa nzuri ya uwekezaji katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni Kisota.
✅ Apartment 2 ndani ya fensi moja
✅ Kila apartment ina:
• Vyumba 2 vya kulala
• Sebule
• Jiko
✅ Ukubwa wa eneo: Sqm 400
✅ Hati ya Wizara ipo
✅ Inafaa kwa uwekezaji wa upangishaji
📍 Mahali:
• Kilometa 1 kutoka barabara ya lami
• Kilometa 8 kutoka Feri ya Kigamboni
• Kilometa 9 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: TSh Milioni 165 (mazungumzo yapo kidogo)
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingnow













