Ofisi inapangishwa Mikocheni, Dar Es Salaam (80 sqm)

Mikocheni, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 800,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
🏢 OFFICE SPACE INAPANGISHWA – MIKOCHENI 🏢
📍 Mikocheni
📐 Ukubwa: 80 SQMT
💰 Kodi:
✅ TSh 800,000 kwa mwezi ukilipa miezi 6
✅ TSh 600,000 kwa mwezi ukilipa miezi 12
✨ Vifaa na huduma:
✅ Air Condition (A/C)
✅ Choo cha ndani
✅ Parking ya kutosha
Inafaa kwa Office, Consultancy, Agency, Accounting Firm, IT Company na biashara nyingine za kitaalamu.
📞 Wasiliana sasa kupanga viewing kabla nafasi haijachukuliwa!















