Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kigamboni Geza Block 18, Dar Es Salaam sqm 1450

video thumbnail
Sh. 120,000,000

Ukubwa

1450 SQM

Barabara ya Karibu

200m

Huduma na Sifa

Hati
Uzio
Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

🏡 KIWANJA KIKUBWA KINAPATIKANA KIGAMBONI GEZA BLOCK 18 🔥

📍 Eneo: Kigamboni Geza Block 18
📐 Ukubwa: Nusu Hekta (Sqm 1,450)

✅ Kimepimwa rasmi
✅ Kina Hati ya Wizara
✅ Eneo limezungushiwa fence
✅ Kipo kwenye mtaa mzuri na salama
✅ Kinagusa barabara kubwa ya mtaa
🚗 Ni mwendo wa mita 200 tu mpaka barabara ya lami

🌟 Kiwanja kipo katika eneo zuri sana kwa uwekezaji, kujenga makazi ya kisasa au miradi mingine.
Hakina mgogoro wowote, ni kisafi na tayari kwa matumizi.

💰 Bei: TZS Milioni 120 (Mazungumzo yapo)

📞 Wahi mapema kwa ajili ya kutembelea eneo.
📲 Huduma ya ushauri na ufuatiliaji wa mali: TZS 30,000

#dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment #creatorsearchinsights Kigamboni