Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Mahakamani, Dar Es Salaam sqm 1600


Ukubwa
1600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β KINYEREZI MAHAKAMANI
π Karibu na barabara ya lami
π Ukubwa: SQM 1,600
π Hati miliki ipo
Kiwanja hiki kinafaa sana kwa uwekezaji mkubwa:
β
Kujenga apartments za ghorofa (hadi 4+) β kila moja inaweza kuwa na vyumba 4 na kupangishwa kuanzia TZS 800,000/=
β
Kujenga hotel au lodge
β
Kufanya godown au biashara nyingine kubwa
β
Kuweka makazi ya kifahari
π Bado kuna space ya kutosha kwa matumizi mbalimbali
π Eneo lina neighborhood nzuri na lina potential kubwa ya maendeleo
π° Bei: TZS Milioni 180 (inaweza kujadiliwa kidogo)
π Service charge: 30,000/=
π Piga simu: +255688412890
Dalali wako Wakishua β Miliki Kesho Yako Leo!









