Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam sqm 500
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA KINAUZWA โ KINYEREZI MWISHO, DAR ES SALAAM ๐น๐ฟ
๐ฐ Bei: TSh Milioni 35 (Mazungumzo yapo kwa mteja makini)
๐ Ukubwa: SQM 500
๐ Nyaraka: Sales Agreement
Je, unatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya kujenga makazi yako au kuwekeza? Hiki ndicho chaguo sahihi!
๐ Kipo Kinyerezi Mwisho, takribani kilomita 1 kutoka stendi.
๐ Barabara ni nzuri na gari linafika hadi kwenye kiwanja bila usumbufu.
๐ฃ๏ธ Kiwanja kipo mwisho wa barabara ya mtaa, hivyo kinatoa utulivu na usalama wa kutosha.
โ
Kina uzio (fence) wa pande mbili.
โ
Eneo ni tambarare na halihitaji gharama kubwa za maandalizi ya ujenzi.
โ
Hakipo karibu na mto.
โ
Hakina bonde wala mfereji.
โ
Kinafaa kwa ujenzi wa makazi binafsi au apartments za kupangisha.
Hii ni fursa nzuri ya kuwekeza katika eneo linalokua kwa kasi. Unaweza kujenga nyumba yako ya ndoto au apartments na kupata kipato cha uhakika.
๐ Service Charge: TSh 30,000/=
๐ฒ Wasiliana nasi:
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! ๐กโจ















